Header Ads Widget

Ajira,jiajiri Kwa kumiliki kiwanda Cha UTENGENEZAJI sabuni

 Utengenezaji sabuni ya mche ya kawaida (sio ya magadi)

JIUNGE NA GROUP LA UTENGENEZAJI SABUNI WHATSAPP, Tuna walimu waliobobea UTENGENEZAJI sabuni.

Mahitaji


1 maji

Maji ni kwaajili ya kuandaa lye . caustic soda+Water=Lye


2 mafuta yenye asili ya kuganda .mfano mawese,nazi,mise,mbosa nk au yoyote ya wanyama .Mafuta ni kwaajili ya kutengenezea sabuni yenyewe yaani mafuta + Lye =Soap .


3 caustic soda .Hii utaipata dukani.


KAZI YA CAUSTIC SODA NI:


>kuyaunganisha mafuta na maji kuwa kitu kimoja Kama inavyofahamika mafuta hayawezi kuchanganyika na maji hivyo inahitajika jitihada maalumu kuyaunganisha mafuta na maji.


>Kuifanya sabuni igande.Caustic solution (caustic soda + maji ) huigandisha sabuni na kuwa gimba Moja lililoungana.


>husababisha povu kutokea. Lye au caustic solution katika sabuni ya mche Ndio husababisha sabuni kutoa povu unaloliona kwenye sabuni.


>kutoa uchafu kwenye nguo. Lye Ndio hutoa uchafu kwenye nguo .Uchafu ukiungana na sabuni iliyotengenezwa Kwa lye (caustic soda +Maji) huyeyuka na kuachia nguo.



4 Glycerine .

Hii kazi yake ni kuleta ulaini ,kuzuia mchubuko na hii ndio huifanya sabuni iwe laini na iteleze.



5 pafyumu .

Hii huleta harufu nzuri katika sabuni. Pafyumu zipo aina nyingi so choose what you prefer most .


6 maji .

Kutengenezea kemikali ya maji yaani maji +caustic .


7 chumvi .Hii ni ile ya kawaida ya mawe ( sio ile ya kununua kwenye vipakiti) .

Malighafi za kutengeneza sabuni 


Nakukumbusha tu kuwa Somo la utengenezaji sabuni za mche linaendelea, Fuatana nami nikupatie soap making knowledge.


Tunaangalia hatua ya pili baada ya hatua kuandaa malighafi zote . 


 Sasa tunaangalia uaandaaji wa caustic solution (lye) 


Caustc solution ni mchanganyiko wa kikemikali unaotokea baada ya maji kuchanganyikana na caustic soda .


Namna ya kuandaa caustic solution.

Hii ni hatua nyeti kabisa na inahitaji umakini mkubwa sanana.

Kwanini inahitaji umakini mkubwa hatua hii?


Caustic soda ni kemikali hatari sana kwani inababua au kuchoma ngozi ikiwa utaishika kwa mkono mtupu.

Hivyo unapoiandaa hii vaa gloves na mask. Sikutishi ila nataka uwe makini.

Kwa wazoefu anaweza kuiandaa kivyovyote vile ila ni vyema kuwa makini.

JIUNGE NA GROUP LA UTENGENEZAJI SABUNI WHATSAPP Tuna walimu waliobobea UTENGENEZAJI sabuni.

Ili kuiandaa caustic solution.

 Chukua ndoo kisha weka maji safi yaliyochujwa na yasiyo na chunvi.Yaani sio ya kuchota tu kisimani na kuanza kuchanganya isipokuwa ni yale masafi ya bombani.Japo mimi huwa natumia hata ya kisimani ila nayachemsha kuitoa chunvi.Hii niliifanya tu kufanyia majaribio ila niliona sabuni ilikuwa nzuri tu na shwari baada ya kuyachemsha.


Baada ya kuweka maji kwenye ndoo safi ( maji yawe kiasi kulingana na kiasi au wingi wa sabuni unazotaka kuitengeneza kwa sisi tuamue maji lita 2.5 )

Weka caustic soda kilo moja.

Wakati unaweka caustic soda koroga kuelekea uelekeo mmoja kwa muda wa dakika 15  kisha acha ipoe kwa masaa 24 , Unaweza kuacha hata siku 5 lakini lazina iwe kuanzia masaa 24.



 Bila shaka kila kitu kimeeleweka katika namna ya kutengeneza caustic solution.


Tunaendelea na somo letu la msingi juu ya utengenezaji wa sabuni ya mche kwaajili ya kufulia.


Fuatana nami nikupe mwongozo na hatua muhimu za utengenezaji hii sabuni ya mche.


Hatua hii ni muhimu sana kwani hii ndio saponification yenyewe ama ndio utengenezaji wenyewe wa sabuni


Baada ya kuandaa caustic solution au lye na kuiacha ipoe kwa zaidi ya masaa 24 , sasa tunandaa tena mafuta yetu tuliyochagua kutumia either mawese au mafuta ya nazi au hata ya mbosa au wanyama ilimradi tu yanaganda.


Namna ya kuandaa na kuitengeneza sabini.


Chukua lita 4 ya mafuta kisha yaweke kwenye ndoo au chombo mahususi cha kutengenezea mchanganyiko wako.

Kisha weka glycerine kijiko kimoja cha kulia kwenye mafuta na pia tia perfumes kijiko kimoja cha kulia ikifatia chunvi nusu kijiko.

Anza kukoroga kuelekea uelekeo mmoja .

kisha chukua lita 1 ya ile caustic solution (lye) uliyoiandaa .Mimina kidogokidogo kwenye yale mafuta yenye m hanganyiko wa ingredients ( mafuta,glycerine,perfumes and salt ), huku unakoroga,koroga kwa nusu saa utapata uji mzito.


Chukua huo uji kisha mimikina kwenye kifyatulio (mold) na iache kwa masaa 12 au zaidi ili igande kisha baada ya hapo ifyatue na ikatekate vipande vipande vya ukubwa sahihi kisha chukua peleka sokoni au tumia kwa matumizi yako binafsi.



Asante kufatilia Somo hili la utengenezaji sabuni ya mche ya kufulia. Ukiwa na swali comment 

Masomo yote ya utengenezaji SABUNI na bidhaa zingine Fuata link hii


Utengenezaji sabuni ya mche ya kawaida (sio ya magadi)


Mahitaji


1 maji

Maji ni kwaajili ya kuandaa lye . caustic soda+Water=Lye


2 mafuta yenye asili ya kuganda .mfano mawese,nazi,mise,mbosa nk au yoyote ya wanyama .Mafuta ni kwaajili ya kutengenezea sabuni yenyewe yaani mafuta + Lye =Soap .


3 caustic soda .Hii utaipata dukani.


KAZI YA CAUSTIC SODA NI:


>kuyaunganisha mafuta na maji kuwa kitu kimoja Kama inavyofahamika mafuta hayawezi kuchanganyika na maji hivyo inahitajika jitihada maalumu kuyaunganisha mafuta na maji.


>Kuifanya sabuni igande.Caustic solution (caustic soda + maji ) huigandisha sabuni na kuwa gimba Moja lililoungana.


>husababisha povu kutokea. Lye au caustic solution katika sabuni ya mche Ndio husababisha sabuni kutoa povu unaloliona kwenye sabuni.


>kutoa uchafu kwenye nguo. Lye Ndio hutoa uchafu kwenye nguo .Uchafu ukiungana na sabuni iliyotengenezwa Kwa lye (caustic soda +Maji) huyeyuka na kuachia nguo.



4 Glycerine .

Hii kazi yake ni kuleta ulaini ,kuzuia mchubuko na hii ndio huifanya sabuni iwe laini na iteleze.



5 pafyumu .

Hii huleta harufu nzuri katika sabuni. Pafyumu zipo aina nyingi so choose what you prefer most .


6 maji .

Kutengenezea kemikali ya maji yaani maji +caustic .


7 chumvi .Hii ni ile ya kawaida ya mawe ( sio ile ya kununua kwenye vipakiti) .


Nakukumbusha tu kuwa Somo la utengenezaji sabuni za mche linaendelea, Fuatana nami nikupatie soap making knowledge.


Tunaangalia hatua ya pili baada ya hatua kuandaa malighafi zote . 


 Sasa tunaangalia uaandaaji wa caustic solution (lye) 


Caustc solution ni mchanganyiko wa kikemikali unaotokea baada ya maji kuchanganyikana na caustic soda .


Namna ya kuandaa caustic solution.

Hii ni hatua nyeti kabisa na inahitaji umakini mkubwa sanana.

Kwanini inahitaji umakini mkubwa hatua hii?


Caustic soda ni kemikali hatari sana kwani inababua au kuchoma ngozi ikiwa utaishika kwa mkono mtupu.

Hivyo unapoiandaa hii vaa gloves na mask. Sikutishi ila nataka uwe makini.

Kwa wazoefu anaweza kuiandaa kivyovyote vile ila ni vyema kuwa makini.


Ili kuiandaa caustic solution.

 Chukua ndoo kisha weka maji safi yaliyochujwa na yasiyo na chunvi.Yaani sio ya kuchota tu kisimani na kuanza kuchanganya isipokuwa ni yale masafi ya bombani.Japo mimi huwa natumia hata ya kisimani ila nayachemsha kuitoa chunvi.Hii niliifanya tu kufanyia majaribio ila niliona sabuni ilikuwa nzuri tu na shwari baada ya kuyachemsha.


Baada ya kuweka maji kwenye ndoo safi ( maji yawe kiasi kulingana na kiasi au wingi wa sabuni unazotaka kuitengeneza kwa sisi tuamue maji lita 2.5 )

Weka caustic soda kilo moja.

Wakati unaweka caustic soda koroga kuelekea uelekeo mmoja kwa muda wa dakika 15  kisha acha ipoe kwa masaa 24 , Unaweza kuacha hata siku 5 lakini lazina iwe kuanzia masaa 24.


 Bila shaka kila kitu kimeeleweka katika namna ya kutengeneza caustic solution.


Tunaendelea na somo letu la msingi juu ya utengenezaji wa sabuni ya mche kwaajili ya kufulia.


Fuatana nami nikupe mwongozo na hatua muhimu za utengenezaji hii sabuni ya mche.


Hatua hii ni muhimu sana kwani hii ndio saponification yenyewe ama ndio utengenezaji wenyewe wa sabuni


Baada ya kuandaa caustic solution au lye na kuiacha ipoe kwa zaidi ya masaa 24 , sasa tunandaa tena mafuta yetu tuliyochagua kutumia either mawese au mafuta ya nazi au hata ya mbosa au wanyama ilimradi tu yanaganda.


Namna ya kuandaa na kuitengeneza sabini.


Chukua lita 4 ya mafuta kisha yaweke kwenye ndoo au chombo mahususi cha kutengenezea mchanganyiko wako.

Kisha weka glycerine kijiko kimoja cha kulia kwenye mafuta na pia tia perfumes kijiko kimoja cha kulia ikifatia chunvi nusu kijiko.

Anza kukoroga kuelekea uelekeo mmoja .

kisha chukua lita 1 ya ile caustic solution (lye) uliyoiandaa .Mimina kidogokidogo kwenye yale mafuta yenye m hanganyiko wa ingredients ( mafuta,glycerine,perfumes and salt ), huku unakoroga,koroga kwa nusu saa utapata uji mzito.

JIUNGE NA GROUP LA UTENGENEZAJI SABUNI WHATSAPP 

Chukua huo uji kisha mimikina kwenye kifyatulio (mold) na iache kwa masaa 12 au zaidi ili igande kisha baada ya hapo ifyatue na ikatekate vipande vipande vya ukubwa sahihi kisha chukua peleka sokoni au tumia kwa matumizi yako binafsi.

Asante kufatilia Somo hili la utengenezaji sabuni ya mche ya kufulia. Ukiwa na swali comment 

Masomo yote ya utengenezaji SABUNI na bidhaa zingine join

Post a Comment

0 Comments